Naomba kujuzwa faida za mazoezi ya kuruka kamba

Naomba kujuzwa faida za mazoezi ya kuruka kamba

Lady G

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2010
Posts
515
Reaction score
131
1599299294771.png

Hello jamani hivi mtu akiwa anafanya mazoezi ya kuruka kamba yanasaidia kukata weight? Au tumbo. Please.

Wewe unataka kufanya mazoezi au unataka kukata certain parts of the body?

Hakuna mazoezi ya sehemu moja kama hufanyi mazoezi ya mwili mzima.

Kamba ni mazoezi ya jumla kama kukimbia, unaongeza pumzi, unachoma calories zisizohitajika na unakuwa fit!
---
Inasaidia sana, mimi hayo ni mazoezi yangu makubwa ,baada ya kumuona sister wangu alivyopungua kwa kuruka kamba.

Asubuhi kabla ya kula, kunywa maji ya uvugu vugu ,changanya na asali na mdalasini inasaidia.

Mwanzo kuruka ilikuwa ngumu mno, ila kwa sasa naruka mpaka mia kwa mkupuo.ila ni kazi.
---
Zoezi la urukaji kamba ni zuri sana kwa wale wenzangu na mimi tulio bize na kutafuta maisha. Wengi wetu tu wavivu kuamka asubuhi sana na kwenda mazoezini hasa ya kukimbia, lakini ukiwa kila siku unaruka kamba kwa usahihi walau kwa dakika 30, jua umempita mtu aliyekimbia kwa zaidi ya saa moja.

Kamba ina faida nyingi sana hasa kwa vibonge na kwa wale wanaotaka kuwa na mwili mzuri uliojengeka.

Njoo turuke kamba

Pia unashauriwa kusoma mada hii:
= > Mazoezi ya Ndani: Zoezi la kuruka kamba
 
yap yanasaidia kukata weight ni zoezi kama mengine una burn calories.
 
Wewe unataka kufanya mazoezi au unataka kukata certain parts of the body?

Hakuna mazoezi ya sehemu moja kama hufanyi mazoezi ya mwili mzima.

Kamba ni mazoezi ya jumla kama kukimbia, unaongeza pumzi, unachoma calories zisizohitajika na unakuwa fit!
 
asanteni kwa kunijuza. Penda sana nyinyi
 
oooh Preta hongera shost, nimeanza kwa kuruka mara 100 asubuhi na jioni 100. Hope nitapungua asante umenitia moyo Lol
 
oooh Preta hongera shost, nimeanza kwa kuruka mara 100 asubuhi na jioni 100. Hope nitapungua asante umenitia moyo Lol

usisahau kunywa na maji mengi, yana nafasi yake.
 
Inasaidia sana, mimi hayo ni mazoezi yangu makubwa ,baada ya kumuona sister wangu alivyopungua kwa kuruka kamba.

Asubuhi kabla ya kula, kunywa maji ya uvugu vugu ,changanya na asali na mdalasini inasaidia.

Mwanzo kuruka ilikuwa ngumu mno, ila kwa sasa naruka mpaka mia kwa mkupuo.ila ni kazi.
 
inasaidia sana,mimi hayo ni mazoezi yangu makubwa,baada ya kumuona sister wangu alivyopungua kwa kuruka kamba.asubuhi kabla ya kula,kunywa maji ya uvugu vugu,changanya na asali na mdalasini.inasaidia,mwanzo kuruka ilikuwa ngumu mno,ila kwa sasa naruka mpaka mia kwa mkupuo.ila ni kazi

basi nimeimpruvu, Mimi naruka zaidi ya 100 na bado najisikia bado. Itabidi nitafute na zoezi jingine mbadala ili nikamilishe kiu yangu.....
 
Duh Preta kutoka 98 hadi 55 mimi naogopa kuruka au kufanya mazoezi maana nitafikia kilo 20
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom