Tena hii hoja inaweza kuendeleza malumbano hayo, huwa inaanza taratibu halafu ikiendelea huwa inabadilika topic na kuwa Dini A vs Dini B plus the neutrals. So far so good, harm reported hakuna ubaya hapo ila hoja ni kuwa point ziwe zinatolewa kwa lugha yenye busara. Ukitaka kujua no harm, opponents hawa ktk thread zingine zenye joint concern huwa wanaungana na kuchangia bila ya kuhusisha imanni zao.