Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,462
- 154,332
Siku za karibuni jamvini kumekuwa na malumbano ya kidini yasiyo na idadi.
Je nini faida ya malumbano haya?
Mi naona hamna mafundisho yeyote isipokuwa ni kukashifiana na kubezana.
Je nini faida ya malumbano haya?
Mi naona hamna mafundisho yeyote isipokuwa ni kukashifiana na kubezana.