Naona wanywa beer wamekasirika ata kujibu hawataki. Faida zipo nyingi sana ila kubwa kuliko zote ni kutengeneza ajira, wenye bar, ma-bar maids, wauza michemsho, chips, mishkaki, wauza viti, glass, opener, tissue, wauza K, guest house, breakdown, ma-garage, traffic police, madaktari na wauguzi MOI, mortuary attendants, wauza majeneza, wachimba makaburi, wauza sanda yaani ni chain ya ajira.