Faida ngono kwa kiwango bora kunapunguza Presha.

Faida ngono kwa kiwango bora kunapunguza Presha.

Majaribu2013

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
952
Reaction score
1,050
#Majanga

Mwaka wa majanga huu kwangu!!!

Leo nimeamini kufanya ngono kwa jitihada kunafaida nyingi ila kubwa zaidi presha inakwishaaaa, uzito wote kwishney unakuwa mwepesiiiiiiii.

Leo majogoo nimemkalia mtoto wa kichaga walah haki yanani yaani nimepiga game balaaa, ametikisa nyavu mara 4 wakati mimi nimecheka na nyavu mara 1 tu tena kwa raha ya juuu sana! Duh, baada ya hapo sasa nimekuwa mwepesiiiii, nilikuwa nahisi kama presha hivi wapiiii tena niko mwepesi nadunda zangu ofisini kwa rahaaaaaa mstarehe.

Dr. MziziMkavu thibitisha hili.

Wekend njema.

#Majanga
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu alishawahi kupandwa presha akiwa anafanya mapezi yani kuja kushtuka yupo hospitali
 
Ni sawa, lakini usisahau kuoga kwa sabuni kabla ya kwenda job!
 
Achana na vibinti....
baba wa watu alikunywa chupa mbili za maji na kuanguka juu
kustuka katundikiwa drip

hahahahahah imekuja hisia kama vile ilikutokea wewe vile ahahaha. anyway nayeye alikuwa amezeeka tu ingekuwa sisi wapiga mzigo hadi binti angeomba likizo ahahahaha
 
mapenzi balaa hasira zoote kushineiiiiiiiiiii.
 
hahahahahah imekuja hisia kama vile ilikutokea wewe vile ahahaha. anyway nayeye alikuwa amezeeka tu ingekuwa sisi wapiga mzigo hadi binti angeomba likizo ahahahaha

Naongelea mie ndio we ulidhani namsemea mtu????
 
#Majanga

Mwaka wa majanga huu kwangu!!!

Leo nimeamini kufanya ngono kwa jitihada kunafaida nyingi ila kubwa zaidi presha inakwishaaaa, uzito wote kwishney unakuwa mwepesiiiiiiii.

Leo majogoo nimemkalia mtoto wa kichaga walah haki yanani yaani nimepiga game balaaa, ametikisa nyavu mara 4 wakati mimi nimecheka na nyavu mara 1 tu tena kwa raha ya juuu sana! Duh, baada ya hapo sasa nimekuwa mwepesiiiii, nilikuwa nahisi kama presha hivi wapiiii tena niko mwepesi nadunda zangu ofisini kwa rahaaaaaa mstarehe.

Dr. MziziMkavu thibitisha hili.

Wekend njema.

#Majanga
Ndugu yangu sio zote zinashusha presha kuna ambazo zinapandisha, wewe endelea tu na mchezo wako, iko siku utarudi kuniambia au utakaa kimya-kimya huku wakumbuka msemo wangu..
 
Back
Top Bottom