Elifuraha Longu
Member
- May 8, 2014
- 73
- 10
Nimatumaini yangu wanajamvi wote hamjambo.
Nimepitia baadhi ya thread humu jf pia nimesoma vitabu mbalimbali kuhusu viumbe maJini, jinsi ya kuishi nao na kumtumia kupata mali na utajiri, pia wanasema kuna jini wema na wabaya, majini wema hawana madhara kwa binadamu ila majini wabaya huwadhuru binadamu.
Lakini ni kweli binadamu anaweza kuishi na hawa viumbe hatari?
Karibu tujadili kwa pamoja!
Nimepitia baadhi ya thread humu jf pia nimesoma vitabu mbalimbali kuhusu viumbe maJini, jinsi ya kuishi nao na kumtumia kupata mali na utajiri, pia wanasema kuna jini wema na wabaya, majini wema hawana madhara kwa binadamu ila majini wabaya huwadhuru binadamu.
Lakini ni kweli binadamu anaweza kuishi na hawa viumbe hatari?
Karibu tujadili kwa pamoja!