otimbiotimbi
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 136
- 235
Kwa mujibu wa jarida la Forbes Elon Musk ndiyo tajiri namba moja duniani, akiwa na utajiri wa Trilioni 627
Kwa mchanganuo wa utajiri wake, akisema kila siku atumie Bilioni 2 na milioni 600. Basi fahamu itachukua miaka 610 kuishiwa yaani kuwa kabwela.
NB: Mchanganuo huo ni kwa shilingi ya Tanzania
Kwa mchanganuo wa utajiri wake, akisema kila siku atumie Bilioni 2 na milioni 600. Basi fahamu itachukua miaka 610 kuishiwa yaani kuwa kabwela.
NB: Mchanganuo huo ni kwa shilingi ya Tanzania