Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Katika mahusiano wanawake huwa wanauliza vitu vingi sana ila ikifikia hatua anakuuliza maswali haya anza kujitathimini mapema
1.mwanamke akikuuliza una malengo gani na mimi na upo ndani uhusiano nae zaidi ya mwaka
2.Ni nini hatma ya mahusiano yetu Kati ya mimi na wewe hapo mmeshakaa zaidi ya miezi Sita
3.Ni lini utakuja kwetu kujitambulisha
4.ni lini utanipeleka kwenu kunitambulisha
5.ni lini utakuja kwetu kunitolea mahaliii
Kama una mengine Hebu ongezea maswali ambayo hufungua lango la kuachwa kama usipojibu inavyotakiwa
1.mwanamke akikuuliza una malengo gani na mimi na upo ndani uhusiano nae zaidi ya mwaka
2.Ni nini hatma ya mahusiano yetu Kati ya mimi na wewe hapo mmeshakaa zaidi ya miezi Sita
3.Ni lini utakuja kwetu kujitambulisha
4.ni lini utanipeleka kwenu kunitambulisha
5.ni lini utakuja kwetu kunitolea mahaliii
Kama una mengine Hebu ongezea maswali ambayo hufungua lango la kuachwa kama usipojibu inavyotakiwa