Fagia Fagia huko Cabo delgado Mozambique

Fagia Fagia huko Cabo delgado Mozambique

Hawa ndo wanajeshi sasaaa!!!
Kagame kunywa soda nakuja kulipia
 
Nadhani SADC inazinduka inaanza kuelewa majuku yake halisi.Hongera Filioe Jacinti Nyusi Mwenyekiti wa SADC,Raisi wa Msumbiji,umeamua hasa kusafisha nyumba.Maana nashangaaga sana,majeshi ya UN yanapelekwa congo lakini hakuna linaloonekana ,zaidi ya wanajeshi wake kupukutika tuu.anayewafadhali ataendelea kupata hasara.
Congo pana dhahabu MSUMBIJI kuna nini kwani ?! Hadi UN waende?!
 
Back
Top Bottom