Fadlu badilika ama ubadilishwe


Kijili ni takataka.

Duchu labda
 
Hivi kwa nini Valentino mashaka kila mechi anakaa benchi Lakini hachezi? Hofu ya kufungwa inamfanya Fadlu kutokuwatumia wachezaji wengine ambao anao na wangempa matokeo chanya.

Hivi ni kweli kuwa kila mechi ni Lazima Mohamed Hussein acheze?
Simba bado haina mbadalla wa mohamed hussein na shomari kapombe.Wanaochezeshagwa hawana ukomavu labda kwamechi ndogo.Valentino sio mchezaji wakutegemea kama unahitaji matokeo.
 
Uchambuzi wa kipuuzi huu.... Yaani umeshindwa kutambua kuwa timu ilikuwa na fatigue kutokana na mechi za CAF????.....
Hujamuelewa mtoa mada.Hayo mapungufu aliyoyataja yako simba toka msimu unaanza.Kibu ubinafsi wake hautokani na uchovu,ohua utoto wake hautokan na uchovu.Tatizo ni kukosekana kwa kikosi kipana chenye ubora unaolingana ndicho kitu kinachoigharimu timu namengine mengi aliyoyataja mtoa mada.
 
Tofauti yenu kwenye mechi ya leo na wale Waarabu waliocheza na Yanga Kwa Mkapa, ilikuwa ni rangi tu! Yaani hata sijaamini kama timu kama simba inaweza kukalinda kagoli kamoja dhidi ya timu kama Singida Black Stars!
Wewe unaiona singida ni timu ndogo?
 
Kinaigharimu vipi, unadhani timu zingine hazichezi? Mechi za simba ni dume sio kama za yanga ambazo zinalainishwa nje ya uwanja, gsm effect
 


MIKIA WANGEKUAJIRI WEWE UWE KOCHA WANGECHUKUA MAKOMBE YOTE. UPO VIZURI SANA AISEEEE. FADLU AONDOLEWE SIMBA UAJIRIWE WEWE.
 
Ukocha ungelikuwa mwepesi hivyo, kusingelikuwa na haja ya kuajili makocha kutoka nje. Wangelipatika hata humu JF!
 
Mkuu naheshimu mawazo yako, lakini umeshindwa kutambua kama kikosi kimechoka sasa hivi kutokana na kucheza mechi ngumu mfululizo... Timu inakata pumzi kwa sababu ambazo zinaeleweka.
Kama kikosi kimechoka si Kuna wachezaji wengine, hii inapelekea kuwa na majeruhi na kuua viwango vya wachezaji.
Singida wajilaumu hii ni Kama mechi na Azam tulipata sare ya kijinga
 
Mtoa post ame base kwa matokeo ya juzi....

Yaani kocha aifikishe timu hadi kucheza fainali ya mashindano makubwa alafu eti umlaumu kuwa amekuwa akipanga kikosi vibaya.... Huu ni uwendawazimu wa ushabiki.... Yaani shabiki hujui unataka Nini!
 
Yaani kocha aifikishe timu hadi kucheza fainali ya mashindano makubwaHuu ni uwendawazimu wa ushabiki.... Yaani shabiki hujui unataka Nini!
Humu Nina post lukuki nimeandika nilichoandika hapa. Uwenda wazimu ni kufurahia mafanikio bila ya kujali njia uliyotumia kupata hayo mafanikio.

Sipendi kocha wa staili ya Morinho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…