white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
pesa za mfuko wa korosho zitumiwe kwa amri kutoka juu,bilioni 200!!,ambazo ndio zimepelekea hali hii hapo uje umlaumu waziri tena kwa awamu hii ambapo kila kitu ni KONKI MWENYEWE!!waziri utamlaumu tu kama sera ya nchi au mazingira sio mazuri kwa wawekezaji hata afanye nini kuwapata ni ngumu!!!kwani hawawaoni wenzao wanavyopata tabu?kosa lao wamekuwa kimya muda wote swala hili limeshughulikiwa na Ikulu, na mwaijage kosa lake ni kwa miaka 3 ameshindwa kushawishi kujenga hata kiwanda kimoja cha kubanguankorosho, ila nadhani kwenye hili Makatibu wa kuu unawaachaje