dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Kwa ukweli.na uwazi magufuli kachemka ila anaona aibu kusema ukweli.
Hii nchi kwa upnde wa uchumi ni mbaya na tumbua tumbua hii ni dalili tosha mambo hayaendi.
Kama Mwijage na viwnda vyake 3600 inauwaje natumbuliwa? Ajaye naye ataleta viwnda hivyo?
Hakuanzia hapa tumbua tumbua yaani miaka 3 ni panga pangua atamaliza mitano mambo ni hayajhaya ni dalili ya wazi kuwa nchi imemshinda na uchumi unakufa
Hii nchi kwa upnde wa uchumi ni mbaya na tumbua tumbua hii ni dalili tosha mambo hayaendi.
Kama Mwijage na viwnda vyake 3600 inauwaje natumbuliwa? Ajaye naye ataleta viwnda hivyo?
Hakuanzia hapa tumbua tumbua yaani miaka 3 ni panga pangua atamaliza mitano mambo ni hayajhaya ni dalili ya wazi kuwa nchi imemshinda na uchumi unakufa