Sal
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 498
- 228
Kizaizai umeongea kwa kweli. Namna ya ku kiss ndio mpango mzima, maana kuna wengine, tobaaaa!!! hutataka arudie tena, hata ujitahidi vipi kuelekeza kwa vitendo ha respond ipasavyo. Mtu kama huyu ni talaka faster, usije ukanyofolewa kiungo :wacko:
Kweli kabisa ukiwa mjuzi wa kiss na ukampata anayejua ku-respond back +vely, hutoweza sahau jinsi mwili ulivyoreact.