Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,945
- 67,564
Leo kuna mechi mbili za Kombe la Fa kati ya Yanga VS Ndanda pale uwanja wa Taifa na Azam Fc Vs Tanzania Prisons katika uwanja wa Azam complex pale Chamazi.
Washindi wa mechi hizi wataingia nusu fainali ya mashindano haya.
Mechi zote zitapigwa kuanzia saa 10 jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki, karibuni tupeane yanayojiri toka kwenye mechi hizo. Pia mechi zitaoneshwa kupitia Azam tv.
cc : mkolaj Makoye Matale Amavubi Nifah
MATOKEO YA ROBO FAINALI KOMBE LA FA
Azam 3-1 Tanzania Prisons
Yanga 2-1 Ndanda SC
Wafungaji(Chamazi)
Shomari Kapombe 09' 50' l Jeremiah Juma 31'
Khamis Mcha 86'
Wafungaji(Taifa)
Yondani(PK) 69 l Makasi 56
Nonga 27
*Mpira umeisha uwanja wa Chamazi na uwanja wa Taifa, kwa matokeo haya Azam na Yanga wanafanikiwa kufika nusu fainali ya kombe la shirikisho.
Washindi wa mechi hizi wataingia nusu fainali ya mashindano haya.
Mechi zote zitapigwa kuanzia saa 10 jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki, karibuni tupeane yanayojiri toka kwenye mechi hizo. Pia mechi zitaoneshwa kupitia Azam tv.
cc : mkolaj Makoye Matale Amavubi Nifah
MATOKEO YA ROBO FAINALI KOMBE LA FA
Azam 3-1 Tanzania Prisons
Yanga 2-1 Ndanda SC
Wafungaji(Chamazi)
Shomari Kapombe 09' 50' l Jeremiah Juma 31'
Khamis Mcha 86'
Wafungaji(Taifa)
Yondani(PK) 69 l Makasi 56
Nonga 27
*Mpira umeisha uwanja wa Chamazi na uwanja wa Taifa, kwa matokeo haya Azam na Yanga wanafanikiwa kufika nusu fainali ya kombe la shirikisho.