DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi Mhandisi Ezra Chiwelesa kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM kwa kipindi Cha 2020-2025 amechukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha pili kama ulivyo utaratibu wa chama hicho.
Chiwelesa amesema matumani yake ni kuendelea kushirikiana na wananchi katika kujiletea maendeleo.
Fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge amekabidhiwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera Bw. Adam Soud.
Chiwelesa amesema matumani yake ni kuendelea kushirikiana na wananchi katika kujiletea maendeleo.
Fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge amekabidhiwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera Bw. Adam Soud.