puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 940
- 1,847
Habari za muda huu wana JF.
Nina External Hard drive ya 2TB, niliifanyia partion katika sehemu 3, 500GB, 500GB na 1000GB.
Sasa hii partion ya 1TB ghafla tu imegoma kuvunguka ukiifungua inakwambia..."Access denied" ina vitu vyangu muhimu, naweza kuifanya ikasoma bila kuiformat?
Mwenye kujua anusaidie, maana kuna baadhi ya kazi nashindwa kufanya
Natanguliza shukrani...
Nina External Hard drive ya 2TB, niliifanyia partion katika sehemu 3, 500GB, 500GB na 1000GB.
Sasa hii partion ya 1TB ghafla tu imegoma kuvunguka ukiifungua inakwambia..."Access denied" ina vitu vyangu muhimu, naweza kuifanya ikasoma bila kuiformat?
Mwenye kujua anusaidie, maana kuna baadhi ya kazi nashindwa kufanya
Natanguliza shukrani...