Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,306
Leo kumetokea maamuzi Kama siyo ya kushangaza Basi maamuzi kichaa kabisa umma wa watanzania umeshikwa na butwaa watu wametumia rasilimali fedha,muda kufika uwanjani
Halafu anatokea mtu mmoja mwenye mamlaka kwa sababu anataka kujikomba anatoa matamko ya kisiasa kupeleka mechi mbele!!unajiuliza wizara inaongonzwa na mtu msomi Tena kasoma marekani sehemu tunayo amini kapata uweledi wa kuendesha Mambo kumbe hamna kitu kabisa
Ifike mahali. Tutenganishe siasa na Mambo ya kiweledi mpira ni watu ikifika point mashabiki tunadharaulika aise itakuwa shidaa Sana mbeleni viwanja vitakuwa tupu
Halafu anatokea mtu mmoja mwenye mamlaka kwa sababu anataka kujikomba anatoa matamko ya kisiasa kupeleka mechi mbele!!unajiuliza wizara inaongonzwa na mtu msomi Tena kasoma marekani sehemu tunayo amini kapata uweledi wa kuendesha Mambo kumbe hamna kitu kabisa
Ifike mahali. Tutenganishe siasa na Mambo ya kiweledi mpira ni watu ikifika point mashabiki tunadharaulika aise itakuwa shidaa Sana mbeleni viwanja vitakuwa tupu