Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
Jamani mimi na umwakalinga wangu najiuliza tu - hivi hizo expansion joints tulizoelezwa na wazee wa TBA kwa kawaida zinapaswa kuwaje, zig-zag vile kama tulivoona hizi za Dr Magufuli Hostels au zinapaswa kuwa straight???
MIMI sijui lolote kuhusu tasnia ya ujenzi japo nina kakibanda changu nilichojengewa na rafiki yangu mmoja anaitwa Engineer Jo - japo sijui lolote lakini sikumwacha afanye anavotaka na kakibanda hakina expansion joints zozote zile, potelea mbali kakishindwa kuhema na kashindwe tu
Swali la msingi: expansion joints, kama ni lazima ziwepo kama TBA walivyotarajia ziwepo, zapaswa kuwa zig-zag or straight, or vyovyote?
MIMI sijui lolote kuhusu tasnia ya ujenzi japo nina kakibanda changu nilichojengewa na rafiki yangu mmoja anaitwa Engineer Jo - japo sijui lolote lakini sikumwacha afanye anavotaka na kakibanda hakina expansion joints zozote zile, potelea mbali kakishindwa kuhema na kashindwe tu
Swali la msingi: expansion joints, kama ni lazima ziwepo kama TBA walivyotarajia ziwepo, zapaswa kuwa zig-zag or straight, or vyovyote?