Makobus
Senior Member
- Jul 30, 2012
- 164
- 103
Wadau habarini.
Shida yangu nilishaileta humu mkanisaidia japo tatizo halijatibika. Leo naileta kivingine.
Kila nikipima oil asubuhi kwa dipstick naona oil inashuka chini. Gari haitoi moshi ule mweupe, bali inatoa carbon na maji maji tu kwenye exhaust. Wala hakuna leakage yoyote kule uvunguni. Carbon, kwa ufafanuzi ni masizi meusi.
Siwezi kukimbilia tatizo la oil kuchomwa na mafuta kwani ningekuwa ninaona moshi na exhaust ingekuwa inalowa oil. Lakini ninachoona ni hiyo carbon na maji tu.
Shida ni nini wataalamu?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Shida yangu nilishaileta humu mkanisaidia japo tatizo halijatibika. Leo naileta kivingine.
Kila nikipima oil asubuhi kwa dipstick naona oil inashuka chini. Gari haitoi moshi ule mweupe, bali inatoa carbon na maji maji tu kwenye exhaust. Wala hakuna leakage yoyote kule uvunguni. Carbon, kwa ufafanuzi ni masizi meusi.
Siwezi kukimbilia tatizo la oil kuchomwa na mafuta kwani ningekuwa ninaona moshi na exhaust ingekuwa inalowa oil. Lakini ninachoona ni hiyo carbon na maji tu.
Shida ni nini wataalamu?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app