Bakhresa asiwajaribu Wazungu.Mapinduzi gani we nae hizo mechi hata TV1 na EATV si walikua wanaonesha?
Azam hawezi kurusha full ligi ya England kamwe unajua Multichoice wanawalipa Premier League kiasi gani??
Wamekupa options mbili.. ila usemalo ni kweli ata movie ikitafsiriwa kwa Kiswahili inakua siyo.Ila Mpira ukishabadilishwa lugha utamu wote hupotea.
Ukute Azam ananunua Dstv maana Dstv wana monopoly
Hajui ungemkaushia tuMapinduzi gani we nae hizo mechi hata TV1 na EATV si walikua wanaonesha?
Azam hawezi kurusha full ligi ya England kamwe unajua Multichoice wanawalipa Premier League kiasi gani??