Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Haaaa haaaa haaaa!afande udenda ushamtoka akajua bacccccccccc!kumbe msuto!Dada alijitoa katika foleni ya Benk na kumfuata askari kumuuliza
DADA:Samahani afande,unaweza kunisaidia kutoa kitu kwenye makalio yangu??kinanikera sana.
Kwa haraka sana afande akajivuta chemba na kuweka bunduki chini,kisha akamwambia dada
AFANDE:Njoo kwa huku.Kwani ni kitu gani hicho kinakukera?
DADA:Ni hayo macho yako.Unanikosesha amani unavyonikodolea macho matakoni.
Haaaaa haaaaa haaaa!sauti ilisikika kichakan ikiomba msaada''nisaidien nakufaa''gafla lilitokea bonge ya baunsa kichakan huku likihema na boxa mkonon likasema''dah japo wamenigonga lakin kwa mbinde.
ha ha ha ha acha mchezo kaka hiyo hitu haina umri!!!! kwi kwi kwi!Mwanajeshi akiwa kwenye vita aliwateka adui zake watatu,wote walikuwa wanawake,wasichana wawili na mbibi,mwanajeshi akawaambia,sasa punishment yenu nafanya mapenzi na nye wote....wale wasichana wawili wakamwambia tunaomba basi usifanye na bibi yetu,bibi akadakia akisema...adhabu ni kwa wote adui ni adui hata awe bibi.
Processing.....Searching...
teh teh tehMmh jamani hapo kwenye kubip kwa line ya tigo nimecheka miyee huyo mzee ukimuona anakuja kwenye msiba wenu mpakulieni sinia lake akale kwake maana ni balaa lol mecheka sana bila hata kutekenywa
mmmh lakini wajua anayetuchekesha ni sawa na anatutekenya hebu fikiria umetekenywa na wangapi nawe umetekenya wangapi makwapani au mbavuni au unyayoni mhhh ctaki waza zaidi bye