Kraftwerk
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 227
- 321
Habari ndugu zangu wana JF.
Twende kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni kijana wa miaka 25 ni mfanyabiashara. Miaka ya nyuma kwenye harakati za maisha nilijikuta na mauhisiano na dada mmoja ambae yupo mkoa mwengine kikazi. Kiukweli nilikuwa nae ila sikuwa nimempenda ki vileeee zaidi ya mbususu yake matam na si mchoyo.
Nikahitaji kuingia kwenye ndoa kwa shinikizo la wazazi na mwanamke mwengine nilijaribu kumueleza mwenzangu hakunielewa kabisa. Kwanini namuacha na kuwa na mwanamke mwingine nilijaribu kumueleza ni hisia tu zimenipelekea kumuoa huyu bidada mzuri na mpole.
Hakuweza kunielewa ila aliniomba jambo moja kabla ya mimi kumuoa huyu mwingine nimpe ujauzito na mimi kuendelea na maisha yangu hatokuja kunisumbua tena na mimi kuendelea na maisha yangu.
Je ni kweli hatokuja kunisumbua nikimpa mimba ex wangu wakuu?
Twende kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni kijana wa miaka 25 ni mfanyabiashara. Miaka ya nyuma kwenye harakati za maisha nilijikuta na mauhisiano na dada mmoja ambae yupo mkoa mwengine kikazi. Kiukweli nilikuwa nae ila sikuwa nimempenda ki vileeee zaidi ya mbususu yake matam na si mchoyo.
Nikahitaji kuingia kwenye ndoa kwa shinikizo la wazazi na mwanamke mwengine nilijaribu kumueleza mwenzangu hakunielewa kabisa. Kwanini namuacha na kuwa na mwanamke mwingine nilijaribu kumueleza ni hisia tu zimenipelekea kumuoa huyu bidada mzuri na mpole.
Hakuweza kunielewa ila aliniomba jambo moja kabla ya mimi kumuoa huyu mwingine nimpe ujauzito na mimi kuendelea na maisha yangu hatokuja kunisumbua tena na mimi kuendelea na maisha yangu.
Je ni kweli hatokuja kunisumbua nikimpa mimba ex wangu wakuu?