Nimekupata sana mkuu na shukrani sana! 🙏Kwa mzazi mwenzio Tuma hela inayotosha matumizi ya mtoto wako.Kama ni ishu ya Ada usimtumie mama tuma moja kwa moja shule yaani uwe na mawasiliano na shule kujua maendeleo.
Na usitume hela nyingi ya matumizi sijui malaki huko hizo ndizo zinazokuja kukuumiza.
Ukituma pesa itume kupitia kwa wakala.
Maana hawa wanawake tuliozaa nao ukituma pesa kuna mambo yafuatayo; vikoba, kausha damu, waganga, kuhonga, unakuta unatuma pesa ila siku ukienda kumwona mtoto wako unaweza toa machozi.
NB; nilishawahi kufanya hivo kwa huruma ya mtoto, nilikua natuma pesa malaki huko ila zilikuja kuniumiza kiroho hizo pesa.
Kuwa makini sana hawa wanawake ambao tumezaa nao na kuachana nao.
Umenitisha mambo ya kiroho mfano yapi boss?Endelea kumwendekeza hivo hivo! Hela yako hiyo itaenda kukuumiza.
Bora umtumie Mama, baba, mdogo wako au watoe weekend watoto wako watakushukuru kuliko kulea malaya.
Tena hawa mama zetu hata ukiwatumia elfu 20 wanashukrani sana.
Mtu mmeshaachana wa nini tena mawasiliano! Kuna kitu kinatengenezwa kwenye ulimwengu wa roho..endelea..!
Ukweli mchunguWe mzee una majibu makali sana 😹
Ishi nae vema, maana kesho yetu ni fumboNdiyo alikuwa mtu mwema sana
Mfano; unakuta umeshapata mru wa kumuoa alafu bado unawasiliana na huyo mtu kirahisi na kuchukulia vitu poa huoni kwamba kuna bomu unalitengeneza japo hulioni.Umenitisha mambo ya kiroho mfano yapi boss?
OkayNinae mtu wangu ila anatambua pia kuwa Huwa ananicheki
🫡Umetoa mchango kuzidi wengi Sana hongera