Kuhudumia mwili lazima iwe gharama mkuu, maana mwili ndiyo kila kitu, Haya mapetroli yangeshuka hata yawe 1,000 kwa litaHata Lita moja ya bia ni 4,000
Ni sawa na mfugaji kuku asikie kijana wake wa kusafisha banda anafungua maduka ya kuuza mayai.Ukiona bei ya mafuta inapanda kwa kasi ya ajabu kila mwezi! Halafu ukipita kila sehemu unakuta vituo vya mafuta na vinajengwa kwa kasi ya ajabu!
Kwa mtu mwenye akili timamu, unapata majibu sahihi ya nini kinachoendelea nchini.
Bado kuna mtu atasema nasimama na mama
Lt 6 za bia unaanza kuchemkaHata Lita moja ya bia ni 4,000