kazikubwa JF-Expert Member Oct 8, 2010 597 145 Oct 31, 2012 #1 Leo Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini ameiagiza EWURA kuchukua hatua dhidi ya wauza mafuta wanaofanya mgomo baridi. Hivi kila mara hii EWURA mpaka ikumbushwe wajibu wake, kuna nini huko?
Leo Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini ameiagiza EWURA kuchukua hatua dhidi ya wauza mafuta wanaofanya mgomo baridi. Hivi kila mara hii EWURA mpaka ikumbushwe wajibu wake, kuna nini huko?