Everything in our imaginations, exists!

Ni hivi kama kawa watu tunatofautiana,wewe uki imagine mungu yupo unaona yupo lakini ni kwako mwingine aki imagine hayupo, hayupo,unafikiri ni kwanini? Ni kwa sababu imagination haina limit ni wewe utakavyo tu kwahiyo iongoze pia kwa kutumia uhalisia
 
Natype kwa kutumia simu,ningeelezea kwa kirefu angalau lakini Ni shida
Hii mada ni nzuri ila namna ya kuielezea ikae kwenye njia salama isiochallenjika inakuwa ngumu kdg.
 
This will ultimately lead to a contradiction.

I can imagine not existing, totally. That is in my imagination.

Everything in my imagination exists.

Does that mean I do not exists?

And if I do not exist, how did I imagine not existing?

I can imagine a spoon existing. I can imagine a spoon nit existing.

If everything in my imagination exists, does this spoon exist or not?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
It existed, that's how you can not imagine unexisted?!!
 
It existed, that's how you can not imagine unexisted?!!
I have no idea what you are talking about.

What do you meant by "it"?

"Unexisted" is not a word that describes anything, so naturally, I cannot imagine what that is.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Ili kitu kiwepo kinahitaji sifa gani ?
 
hao maaskofu na mashekhe ndio hakuna kitu kabisa,ukiwauliza hayo watabaki kukujibu kinadharia tu,ukiwabana wanakupa vitisho tu kwamba utachomwa milele au utabanwa na kaburi hadi unye
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…