Hii kitu ipo wazi ni Utawala wa Assad ila tatizo ni Russia anamaslai na Syria
Hii kitu ipo wazi ni Utawala wa Assad ila tatizo ni Russia anamaslai na Syria
Mlalaji uache kumeza habari bila kutafuna! Link http://www.globalresearch.ca/syria-...oner-for-syria-s-rebels-tells-his-story/30072
Propaganda za vita ni Nyingi Sana ila Russia ndie mzuiaji mkuu hutaki au vipi? Na naniyupo behind m23 kule Congo? hapa ni kusubiri kichapo hujasikia king wa Jordan katoa order makanali 6 kwa kutoa habari za uongo kwa CIA ? Wacha niitafsiri nitaitupia soon....
Propaganda za Russia pekee? nope mimi sihesabu watu wangapi wamekufa... mimi Napenda Kutizama vita vya Live..... So Nahamu sana vita vipigwe tu watu hawana Adabu... Maasi yamezidi mno.... nataka nione Silaha mpya zinavyofanya kazi... bomu linachimba shimo kubwa sana... yaani hadi raha...Kweli Propaganda za vita ni nyingi . Kama una kumbukumbu, kumbuka Propaganda waliyofanya US, UK; France na Nato kuanzisha vita katika nchi ya Iraq, Afghanistan, Libya. Pia vipi wanatengeneza mazingira ya kuanzisha vita Syria na Iran. Au kumbukumbu zako ni Kwa propaganda za Russia tu? Unaelewa watu wangapi wamekufa na wanaendelea kufa Iraq ambayo ilivamiwa na kusambaratishwa na US na colition of the willing Kwa kutumia uongo na propaganda?
Propaganda za Russia pekee? nope mimi sihesabu watu wangapi wamekufa... mimi Napenda Kutizama vita vya Live..... So Nahamu sana vita vipigwe tu watu hawana Adabu... Maasi yamezidi mno.... nataka nione Silaha mpya zinavyofanya kazi... bomu linachimba shimo kubwa sana... yaani hadi raha...
I can't wit to see Nuke War
Kuna siku watajaribu hizo silaha zao mpya kwako na kwenye mwili wako (yaani Hadi uone raha!)
Propaganda za Russia pekee? nope mimi sihesabu watu wangapi wamekufa... mimi Napenda Kutizama vita vya Live..... So Nahamu sana vita vipigwe tu watu hawana Adabu... Maasi yamezidi mno.... nataka nione Silaha mpya zinavyofanya kazi... bomu linachimba shimo kubwa sana... yaani hadi raha...
I can't wit to see Nuke War