Eti?!.............

mwanadada mmoja yye aliambiwa na mmewe kuwa k yake cku hizi inajaa maji baada ya bao moja na inakuwa taabu kuiendelea na mchezo. na dada anakili hali hiyo kutokea. hili nalo linasababishwa na nini na linawezakupunguzwa vipi wanajamvi?
 
Hahaha! Inawezekana kweli. Hii mada ya leo sijapata kuona. Kumbe vile vitu huwa vinapanukaga? Mi nilikuwa najuaga viko elastic. Lol! Si ajabu wengine nasikia wanavikanda kwa ndimu na pilipili kwa mbali.
haha haaaaaaaaaa binamu acha utani, kwani nyama choma hiyo?
 
nilivyomaliza kujifungua tu doc alinishauri hivyo, na nilijifungua salama lakini misuli c itakuwa ilipanuka ndo akanishauri hivyo, kwa upande wangu imenisaidia,sasa cjui kwa iliyolegea inakuwaje? cna jibu la hakika hapo.

Umesema vizuri dada. Ngoja niongeze darsa kidogo:

Kinachsababisha misuli hii (PC Muscles) kulegea sio kitendo cha kujamiiana. Kwa mwanamke, kubeba mimba, kuzaa kwa njia ya kawaida au hata kwa operation (C-section), na hata aging vyote vinaweza ku weaken hiyo misuli. Hivyo sio ajabu katika kadhia hii kwa huyo dada hata kama alijifungua kwa operation lakini misuli yake ililegea wakati wa ujauzito (kumbuka mimba ina tend kuongeza pressure pale chini).

Na kusema ukweli wanawake wengi wana hili tatizo (bila kujijua!). Ukitaka kutest kama misuli hii inafanya kazi barabara, unaweza kuingiza kidole kule mahala na halafu ujaribu kukibana (kutumia msuli unautumia 'kukata mkojo'). Kama huhisi pressure hata kidogo kwenye kidole basi kuna uwezekano mkubwa PC muscle zipo weak na unahitaji kuzifanyia mazoezi. Kwa mwanamke ambaye, PC muscle ziko fiti anaweza kuubana na kuaachia uume at will wakati wa tendo (i.e. kuu 'hug' uume kadri atakavyo) na penginge asihitaji kabisa 'in and out' movement za uume.
 

nikuulize ww maana sijajua kama ushaulizwa. Mumeo akiwa na 'njiti ya kiberiti' utainjoi? Wakati mwingine unahitaji kukunwa vizuri na baba ila hafiki huko. Raha ya 'jamii' uume ubanwe na uke, sasa kama ni lose utam unapelea. Ndio maana wengine 'wanaruka'. Mungu epusha
 

Umeniuliza mie nami nakujibu. Kwani mziwanda hujawahisikia kuwa size does not matter? Mradi ajue namna ya kuutilize resource yake. So kwa huyu mie ninasema hajui hata namna ya kumridhisha mkewe na pengine mkewe amemvumilia kwa mengi tu - who knows pengine yeye ndo amekuwa mdogo na si mama
 
huyo jamaa hana lolote anatengeneza mazingira ya kula nje na vile vile mazingira ya kula jicho,inaonekana kashakutana na kichangu mtaani kampatia ile kitu ya sodoma
 

Hili nalo ni la msingi... mara nyingi akina mama wanakuwa na staha zaidi ikija kwenye satisfaction; sometimes inafikia hadi mwaka mwanamama hajapata bao, huo ni upungufu, hebufikiria ingemtokea mwanaume kupewa mwaka mzima bila kufika kileleni

its the game of two and they need to play it regardless ya size ya kiwanja au the balls!!

jamaa anahamisha magoli huyo
 
huyo jamaa hana lolote anatengeneza mazingira ya kula nje na vile vile mazingira ya kula jicho,inaonekana kashakutana na kichangu mtaani kampatia ile kitu ya sodoma

Bwana weh, kaonjeshwa sehemu halafu kwa ujinga wake sasa anatoa siri nyumbani!!! Ngoja huyo mama aamke apate jembe ulaya huko mtaani uone dharau itakavyokuwa kubwa hapo nyumbani

subiri MJ1 atarudi kutuambia part II ya hii story
 
Hakupashwa kuyatoa nje au kumweleza mkeo, yeye angetafuta mapozeo nje kimya kimya. Kweli ikiwa kubwa sana utafikiri unaingia kwenye mdomo wa pipa hahaahahahhahaaa! Ladha hamna, una-develop negative feelings towards your mamaa! hapo mapenzi hakuna tena.
 

ww si mwanaume so huwezi kujua vizuri. Mwanamke anapata utam kuanzia mashavu ya uke kuingia ndani. Mwanaume anapata utam kwenye kichwa cha uume tu so kichwa kinahitaji kujisugua ili raha iwepo. Umepata picha sasa. Tusiangalie hisia tu pia na ukweli. Namsifu huyo mwanaume kwa kuwa mkweli japo unauma. Kuanzia hapo wataanza kutafuta suluhu
 

Mkuu, ngoma yataka matao!!!
 
he heheee ma ukikuta kiduchu hata kidole cha mtoto kina nafuu huh. sometimes kuonja kabla kuna manufaa sana

Swadakta kuonja muhimu jamani sio mnabaana mpaka siku ya harusi unakuta Mr. anayo kama bamia.
 
Swadakta kuonja muhimu jamani sio mnabaana mpaka siku ya harusi unakuta Mr. anayo kama bamia.

Yap sometimes kuonja kabla ya ndoa kunafaa, japo upande wa dini hairuhusiwi.
 
Yap sometimes kuonja kabla ya ndoa kunafaa, japo upande wa dini hairuhusiwi.

ingekuwa enzi za mwalimu kusingekuwa na haja ya kuonja, ila enzi hizi wanawake wanapiga punyeto na oversize, wanatoa mimba, n.k. Wanaume nao wana yao. Yote haya yanahalalisha kuonja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…