..eti x-ameni-miss....

Kwanza neno haka hilo kwanini likushughulishe? hujawahi kulisikia au hukulitarajia kwa sasa kutoka kwake?
Ebu jiulize nafsi yako bado na wewe moyo unakudunda na unashauku ya kutaka kujua ebu achana nae mpuuze na mdharau ebu jikazeeeeeeeeeeeeee....

This is it!
Looks like amefurahishwa kumissiwa na yuko one step kurudiana; why asking for detail about? I am sure mwanaume alikuwa anataka kupata reaction yako, ili ukilegea tu mrudiane akutende one more time!
 
mi nimeachana na wangu lakini kanambia nikitaka gemu nimtelbut tatizo nipombali naye
 

Maelezo yako yanatanabahisha wazi kwamba hata wewe umemmisi isipokuwa unataka kupima upepo hapa kwakuwa ulishawakuja kuomba ushauri. Kwakuwa kwa hakika anapokwambia amekumisi umeshajua anamaanisha nini si vibaya ukamsaidia kukata kiu ya kukumisiana.
 
Samahani,naomba nijue umri wako kwanza!
 
I used to "miss" my ex galfriends for "fun"...
 

Alaaaaahhh kumbeeeeeeeeee!!!!naanza kuelewa sasa...LOL
 
Kwani kukumiss ni dhambi? mwambie I miss u too

 
kwanini alikuacha?achana nae na umkwepe kabisa kama mwanzo alikukimbia na siku ingine atafanya tena.wanawake sijui mkoje ninyi mtu kakuacha pengine kwa dharau kabisa leo anarudi unaomba ushauri kama hutaki kujuta achana nae,ila mwisho wa siku mwamuzi ni wewe.achana nae bana
 
Tell u wat?.. Learning frm your mind, u really love dis guy, I wonder wat r u waiting 4!
4 him 2 come back n gravo? Is dat wat ur waiting 4?
Kama ungekua REAL usingeandika hii thread..
Do u wana knw wat u wana du?
Go after him n if pcble apologize 4 wat hapened n tel hm it wont hapen agn switie..
 

Ni kweli kabisa hujui anataka nini dadangu?
Msaidie tu kiutu uzima bana.
 
Ni kweli kabisa hujui anataka nini dadangu?
Msaidie tu kiutu uzima bana.

mheshimiwa Speaker mambo vipi kamanda? kama unakumbuka kuna siku tulikutana pale Mlimani City na nilikuwa na X GF wangu na alikua na tabia ambazo hazieleweki nikampiga chini... juzi ilikuwa birthday yangu akani wish mara akaanza kuniambia ameni miss na mambo kibao aliongea hahaaa.... hata mimi sielewi anataka nini
 

Ha ha Manyanza una nikumbusha mbali sana.
(mambo yetu ya phone tracking yale).
Ndo hivo bana,anataka ka mchezo tu akumbushie,....

Lakini mtu kama huyo si tu kwamba anataka mchezo,
anataka aku fanyie ujanja umvimbishe tumbo then uwe ume
jibebesha majukumu kwake.........USI MSOGELEE
 
Last edited by a moderator:
Sawa sawa, na hii ndio dawa yao. EX wako akijifanya amekumiss MPE MAJUKUMU MAZITO ambayo hukuwai kumpa. sio elfu 10 za voucher, mwambie ajenge ukuta uliobomoka.

mh...:alien:
 

umeongea la msingi sana mkuu, yawezekana anataka nimpe kitumbo halafu aanze kunikera haswaaa simkubalii
 
Ukisikia mtalaka hatongozwi ndiyo hii !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…