wala sio ngumu, imagine umetongozwa na mtu sio size/chaguo lako, yaan humfeel kanisa..., utakamua tu hivo hivo! alaf epuka sana kucheza na hisia za watu utasababisha maafa!.., talking from my experience..Tuombe Mungu waendelee kukosa huu UJASIRI maana wakiwa nao itakua Balaa ahahahha...Ndoa nyingi zitavunjika na ma bachelor wenzangu tutakuwa hatarini kuoa......Ukweli ni kuwa Mwanaume kuchomoa kwa mdada alie mtongoza ni ngumu sana...ahahah sijui ntaanzia wapi labda....ahahah Hii kitu ni Busara za Mother Nature, Wanawake wakose UJASIRI.
mi ntafurahisiku nikikutongoza utajisikiaje!!!!!!!!!!!
Machangu doa ni vile vijanajike tudogo ndo kwanza vinaona na pia huwa vimeshakuwa deflowered havijatulia vimeonja asali vimeipenda kupita kiasi huna haja ya kuvilia maspeed ,hupenda kujiegesha na kusubiri ishara tu,ni tofauti pia na wale mama uluma na huwepo wengi sana na isitoshe hana elimu kubwa katika ulimwengu wa mapenzi ni tofauti na malay japo tofauti si kubwa hawa wa kawaida hawana tabia yote hiyo hapo juu wapo smart kabisa katika mambo ya kidunia na wanaelewa wanachokifanya ,hao wajuu niliowataja hawahitaji kuwatongoza wao wenyewe hujileta mzima mzima ni wewe na choice yako,ukimkataa atabaki kukukodolea macho na kukusunya. Umeona eei ?Unaweza kuwatofautisha vipi machangudoa na wanawake wa kawaida?
Wapo wanawake wanaotongoza, na mwanamke akimtongoza mwanaume jua amempenda kweli coz wanawake wanaongozwa na upendo, sio kama wanaume wanaongzwa na tamaa
sikukatalii hata kidogo sema nitang'atang'ata kidole kidogo halafu nakuuliza tu unataka kunichezea au...........!!teh tehe ha ha LMAO
mim nishatongozwa sana na hao wanawake najitaid nawakwepa.
ukiwa handsome na tajiri unasumbuliwa sana
Napenda kuuliza ,kwani wengi huona mengi ,hivi wapo wanawake wanaotongoza wanaume ? Mbali na wale machangudoa wa mabarabarani nazungumzia wanawake wakwaida ambao huwa wanajiheshimu ,na huweza kufananisha na wanaume kwa uwepo wa utongozaji ndani ya nafsi zao na kuweza kutongoza ,pengine kumvizia jamaa njiani au uchochoroni na kumpa maneno au pengine ofisini ,hivi wnawake huwaga nao wanatongoza ,kivipi ?
Umewahi kukutana nao au yamewahi kukutokea au kukuta !!! :A S 39:
hahaaaaaaaa we subiri siku yako yaja........nakulia mingo tu hum mjengoni