Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Hii dunia ina tabu sana kusema kweli, na shida hizi zinakuja zaidi kwa vi nchi maskini ama kwa nchi zisizo na malengo yoyote ya kuikamata Dunia hii, kKwa kifupi wale waliyotayari kuendelea kuwa wanyonge wa wengine.
US wakili wa demokrasia alipata uhuru 1776, China ndiyo ulikofanyika mkutano wao wa Beijing huku wakisisitiza masuala ya wanawake, Russia mwenyewe ana karne yake naye anadunda.
Hawa vidume wana ramani zao juu ya ulimwengu huu na wanapambana kuwateka wengine (giants) kwa kila aina ya maendeleo hapa duniani, najaribu kujiuliza ni kwanini hawajathubutu kuongozwa na Wabeijing?
Ama kule kwao hawapo? Lakini majuzi tu hapa H. Clinton alitoka kupambania na akabwagwa na Mdemocratic mwenzie B. Obama. Katika hili nikiri wazi nalo liliniduwaza kidogo, kwamba wazungu wakaona aheri Mwafrika (mwanaume) na si Mzungu mwenzao (mwanamke).
Sasa ndugu zangu tuulizane, ni kwanini haya mataifa makubwa na na yenye mikakati Duniani hayako tayari kuongozwa na Wabeijing, kwani wao wanaona nini hasa? Na ni kwanini sisi tunaoonekana sukuma twende tusiyo na mikakati ndiyo tunazingatia zaidi Ubeijingi na Wabeijing hasa pale juu (☝)?
Nawatakia maandalizi mema na uvumilivu wa kutosha hapo 2025.
US wakili wa demokrasia alipata uhuru 1776, China ndiyo ulikofanyika mkutano wao wa Beijing huku wakisisitiza masuala ya wanawake, Russia mwenyewe ana karne yake naye anadunda.
Hawa vidume wana ramani zao juu ya ulimwengu huu na wanapambana kuwateka wengine (giants) kwa kila aina ya maendeleo hapa duniani, najaribu kujiuliza ni kwanini hawajathubutu kuongozwa na Wabeijing?
Ama kule kwao hawapo? Lakini majuzi tu hapa H. Clinton alitoka kupambania na akabwagwa na Mdemocratic mwenzie B. Obama. Katika hili nikiri wazi nalo liliniduwaza kidogo, kwamba wazungu wakaona aheri Mwafrika (mwanaume) na si Mzungu mwenzao (mwanamke).
Sasa ndugu zangu tuulizane, ni kwanini haya mataifa makubwa na na yenye mikakati Duniani hayako tayari kuongozwa na Wabeijing, kwani wao wanaona nini hasa? Na ni kwanini sisi tunaoonekana sukuma twende tusiyo na mikakati ndiyo tunazingatia zaidi Ubeijingi na Wabeijing hasa pale juu (☝)?
Nawatakia maandalizi mema na uvumilivu wa kutosha hapo 2025.