Eti tuikatae katiba kwa sababu hizi?

Eti tuikatae katiba kwa sababu hizi?

Mbepo yamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2012
Posts
1,384
Reaction score
2,082
Wadau hebu tujadili hili. hivi katiba ndo inapaswa kutatua matatizo ya afya na barabara? elimu? maji? au nini hasa? nashangaa watu mnasema katiba ya CCM haina special concern ya hayo mambo so tuikatae.

Upuuzi mkubwa huu, mnataka katiba iwapangie hadi mahali?

That is too childish guys. Upinzani siyo kupinga kila kitu, ndo maana tuliwashangaa mlipomuunga mkono Kagame dhidi ya JK.

Upumbavu tu umewajaa ndo mnaita uanaharakati.
 
Unahasira wewe!!!!!!! wewe si umeikubali inatosha kwanini na mimi niikubali futa hilo povu mdomoni then ongea taratibu ueleweke.
 
Wanashindwa kuwaelezea wanainchi kuhusu njia za kufanya ili kujikwamua na umasikini eti wanaandamana kupinga katiba ya ccm, nyie UKAWA kwa yale mazuri toa pongezi, mf karibia kutoka dar mpaka uko karagwe itakuwa ni barbara ya rami, umeme adi vijijini now. Kwa ayo amwoni kuwa kuna aja ya kuacha unafiki na kusifia selikari ya CCM.
 
Mifumo ya ccm watu wameichoka hata kama ingefanya nn bado makundi Mengi ya watu yatapaza sauti zao chukua mfano mzuri kwa gadaff na mubarak wa misri usilalamike tu hata ndoa huanza kwa upendo badae huwa kero na kupelekea kuvunjika kabisa kama hamkukaa na kufikia muafaka na mwenzi wako
 
ccm wamekwisha....huku maaskofu wetu wameanza kutuapisha kuikataa katiba ya ccm.ccm hamna maana kabisa vijana tunaangaika ajira .nyie mnaficha hela nje ya nchi.mnatengeneza katiba ya kujinda nyie ma familia zenu?
 
2nafanya maamuz 2kiwa na hofu ya njaa,,ndo tatizo letu watanzania,tusitake kuahalarisha mambo nyeti ya kitaifa kwa hoja nyepesi,bila kuruhu mijadala ya kina kila kona ya nchi kuhusu katiba ye2.
 
jk mwenye amesema katiba hii ni sawa na jini lililopo kwenye hadithi ya afulelaulela ila tofauti iliyopo ni kwamba jini hili tumelitengeneza wenyewe;sasa unashauri tupige kura ya ndiyo iliiweje
 
Wadau hebu tujadili hili. hivi katiba ndo inapaswa kutatua matatizo ya afya na barabara? elimu? maji? au nini hasa? nashangaa watu mnasema katiba ya CCM haina special concern ya hayo mambo so tuikatae.

Upuuzi mkubwa huu, mnataka katiba iwapangie hadi mahali?

That is too childish guys. Upinzani siyo kupinga kila kitu, ndo maana tuliwashangaa mlipomuunga mkono Kagame dhidi ya JK.


Upumbavu tu umewajaa ndo mnaita uanaharakati.


Code:

Unakiongelaje kipengele cha maadili ya uongozi? Maana hicho ndo msingi wa uwajibikaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom