Eti nimnyoe

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Duniani kuna mambo ,japo kwa wengine inawezekana kabisa ni kawaida, nimekutana na kimbwanga shangingi la kweli nimelipenda ile mbovu na tumeendelea na mapenzi na mambo mengi tu tumefanyiana, ila jana kanishukia na viwembe na zana za kunyolea anambia nimyonyoe kwenye sehemu zile ,kwanza nilizani utani.

Kumbe kakusudia kikweli yaani mwisho ilikuwa kero kama za muungano, madai yake hayaishi na vikolombwezo kibao, sijui haya ndio mapenzi, watu wakipendana hufanyiana mambo haya ,kwa ufupi nilishikwa na tumbo la kuendesha hapo hapo na kichwa kuniuma nikampa ahadi siku nyingine ,kwani kwani sijisikii vizuri ,nikaondoka hata nyuma sikutazama, aloo mademu wengine wana visa.

Mbio zangu zote nakimbilia hapa kupata ushauri na maelekezo ,hivi haya mambo yapo ? Ila kwa mimi sizani kama ataniona tena bora anione mshamba ,duh ! Mpaka sasa hivi akili yangu haijakaa sawa ,ama kweli duniani kuna watu na majini nafikiri ni jini huyu.
 
Jaman hili nalo pia tutoe ushauri, aki mim sitoi labda waje wengine au basi skia mpeleke saluni watu wakusaidie kunyoa maana kinyozi wew hufai umeshindwa hata kunyoa mpenzi wako
 
Shigongo..... kunyoa unakimbia wakati mnaingizaga mdomo wote...... lol.. mm naona kawaida tu
 
Mnzania wuwongo ,yamenikuta ! yaani najiona kama ninae ota vile,inawezekana mambo yapo labda kwangu mageni ,halafu halafu hana msitu ana jungle ,sijui ndio kakusudia anikomesha ,dah,mwanamke anavisa yule ,nimnyowe ,nna wazimu ? sijui kaona wapi ? Au haya mambo yapo,msinifiche ,ivi nyie mabro mmewahi kunyoa na akina dada mmewahi hii kitu kufanziwah ?
 

binafsi nywere tofaiti na za kichwan kuziona tu kichefuchefuuuuuu
 

Kumbe chumvini huendi au kula papai
 
Mmmmmh, kizunguzungu......

Kabisa ,kuna watu hapa wanajifanya too much know without knowing ,ni pangu pakavu ,ili na wao waonekane wamo wanajua ,lakini kiuhalisia nina uhakika bora mimi angalau nimeambiwa ninyoe ,na wengine wananiponda ile mbaya,hivi kuhuliza ni wujingah ,tunakuja na vusali vyetu mnazidi kutuchanganya ,mnataka kuniambia hapa mmu nyote mnajua kila kitu,sawa na iwe hivyo,basi mtujibu ili kutusaidia ,sio mnatuzodoa na kutufanya wakale !

Yaani akukalie hivi umnyoe,hapo lazima upate ugonjwa wa macho ,kuna mfalme mmoja wa Jordan nasikia alipoteza macho kwa kupekua !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…