GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,426
- 120,781
Je ni kweli kwamba Mzazi wa Kiume akiwa na Mtoto wa Kiume halafu akianza tu ' Kubalehe ' na akiona hapendi Wasichana au hajasikia Kesi yoyote ya Mwanae huyo kufanya Mapenzi na Msichana mdogo mwenzie au hata hasikii mwanae kutuhumiwa kumpa Msichana ujauzito huyu Mzazi wa Kiume huwa anaumia sana kimoyomoyo?
Je ni kweli kwamba Mzazi yoyote wa Kike pindi akishajua tu kuwa Binti yake ameshavunja ' Ungo ' lakini hafuatwi na Wavulana au hamletei Kesi za Kutongozwa au hajawahi hata kupewa Mimba ya bahati mbaya na ' Masela ' huyo Mzazi wa Kike huwa ' anasononeka ' sana rohoni hadi moyoni?
Karibuni ' mtiririke ' na ' mserereke '.
Ijumaa Karim!
Je ni kweli kwamba Mzazi yoyote wa Kike pindi akishajua tu kuwa Binti yake ameshavunja ' Ungo ' lakini hafuatwi na Wavulana au hamletei Kesi za Kutongozwa au hajawahi hata kupewa Mimba ya bahati mbaya na ' Masela ' huyo Mzazi wa Kike huwa ' anasononeka ' sana rohoni hadi moyoni?
Karibuni ' mtiririke ' na ' mserereke '.
Ijumaa Karim!