Hivi kuna ukweli kwamba mliopata wapenzi jf mumesajiri ID nyingine??ili msigundulike kama mnachangia mada zakuwasononesha wapenzi wenu???je nikweli? Mawazo tafadhali.
Sina kabisa natamani hata kurudiana na my sweetheart wangu wazamani ila achatu.....mimi nikiwa naye sitabadili kwani nitakuwanaongea hisia zanguakisoma thread akaona inamgusa apotezee ila ajue sikuwa namzungumzia yeye!!