posta pale eneo la maktaba ya taifa.hiyo double road ni bibi titi road. Mpiga picha alikua kwenye lile ghorofa jipya la Uhuru Heights ghorofa za juu. Bongo vikwangua anga vinazidi kuongezeka!
Umenikumbusha paking yangu wakati huo nasoma nikiitumia makitaba ya Taifa naiona hapo kulia safi sana mpiga picha hii sijui ni aina gani ya picha na alikuwa wapi wale wa Geograph nisaidieni
Life historical trip!!
BarakAllah fik(blessings/grateful/gratitude) Mkuu wala usisumbuke, Msafara wangu ni wa kutirirka kuanzia North hadi kuingia baraniArabu, halfu kuCross Red-Sea kuingia baraAfrica na kuteremka hadi EGY,SDN,ETH,KEN nakuingilia TZA horohoro TG na kukufikia Dar "kukugongea honi home hapo ulipo" !! nitakutumia iteneray yote.