Eti ana mimba yangu!!

Kama circle yake ni ya 26 na kama flow yake ni ya siku 5, ina maana siku 6 BAADA ya kubleed ni siku ya 11 ya mzunguko na ovulation yake ni siku ya 13 so mimba is possible. Ila sijui nilimuelewa vibaya yeye anasema ni siku ya 6 tangia aanze period.

We nae huelewi nini hapo?? Nimesema siku ya 6 tangia aanze kubleed,huelewi nini sasa...
 
kijana unaenda pekuuuuuuuuuuuuu ni mkeo yule !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!lol shame on you huogopi ngoma weye waogopa mimba lol
 

hahahaha.... The Magnificient, i jus laughed!

Dah.. we noma..
 
Last edited by a moderator:
Du, umetia Mbegu. Sasa ikawaje na wewe Ucheze Pekupeku?

Kweli Mdudu atatumaliza Watanzania na Mchina achukue nchi kirahisiiii...

Kucheza ngono ni biology, but kucheza na ndom ni kipaji...
 
watu tunakulaga grace period at least 10 days za kugegedana live,huyo wako anashida ya hela tu,we mwambie utampa laki na nusu aishughulikie uone atakavyokubali fasta..
 
kijana unaenda pekuuuuuuuuuuuuu ni mkeo yule !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!lol shame on you huogopi ngoma weye waogopa mimba lol

Ndom hazifunction kwa kila mtu mamiii...
 
Kama circle yake ni ya 26 na kama flow yake ni ya siku 5, ina maana siku 6 BAADA ya kubleed ni siku ya 11 ya mzunguko na ovulation yake ni siku ya 13 so mimba is possible. Ila sijui nilimuelewa vibaya yeye anasema ni siku ya 6 tangia aanze period.

Kaunga siku ya 6 inawezekana nilinasa ya 7 baada ya mp halafu ajiulize ni kwa nini clinic mimba inahesabiwa tarehe ya kuanza period.
 
Last edited by a moderator:


@ The Magnificient, Inategemea cycle yake kama ni 14, 21 au 28 days na si number of days after period
 

Mkuu hongera sana, hapo ni live bila chenga
 

Unasikitisha sana ndugu! Ukijua kuotesha ujue pia kupalilia na kuvuna baba. Mi nakushauri step ya kwanza kubali kijacho kilee DNA Huko mbeleni,
 
Last edited by a moderator:
Kama mwanamke anaenda mzunguko wa kawaida wa siku 28 na ana afya nzuri, yai halitoweza kurutubishwa siku ya sita kwani litakuwa bado halijapevuka na hivyo si rahisi mwanamke kupata ujauzito. Ulishawahi hisi kuwa mpenzi wako anatoka na mtu mwingine? unamwamini kwa kiasi gani? alishawahi kukutania kwa ishu yoyote seriously? Kaa naye vizuri kwanza mzungumze, kumbuka vizuri ulimmega lini isije ikawa umesahamu, nenda hospital mkachukue vipimo ama unaweza kwenda duka la madawa ukanunua kifaa Tshs 1000/= ukampima huwenda hata anapima upendo wako kwake na utayari wako kukabiliana na changamoto katika mahusiano. Tumia busara zaidi kuliko kuhamaki na kutumia hasira katika maamuzi.
 
Hivi mimba inatisha kiasi hiki mpaka mtu atoke nduki
Kaka katishika kwelikweli maana hapa najiuliza kama ilikuwa ni a ka "once off" event?? Ni wapenzi?? Ni kawaida yao kutotumia kinga??
 
kwa hiyo siku anaanza bleed alikuonyesha ukaona au alikwambia tu/ we mwenyewe unakubali kufanya nae mapenzi asa unahamaki nini, ukipanda maharage utavuna maharage sio mbaazi
 
Ndugu hujasema ni muda gan umepita tangu mkutane hadi aje aseme ana mimba yako. Pili huwez kumtoa nduki ilhali ulitumbukiza mwenyewe nanii yako bila ndomu. Huo ni uzembe.
 
Kaka katishika kwelikweli maana hapa najiuliza kama ilikuwa ni a ka "once off" event?? Ni wapenzi?? Ni kawaida yao kutotumia kinga??

Hahaha yani inashangaza hata mimi nimebaki najiuliza mengi. Mtu anapanda kuvuna hataki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…