Ethical Hacking and penetration test

most people want to be a HACKER and they start on what language need to study or know to be a hacker...............but sad they miss onE or two point .....
what are they?
  • NETWORK KNOWLEDGE
  • OPERATING SYSTEM SUITABLE FOR HACKING eg, KALILINUX and BLACKARCH
je uko vizuri katika ivo vitu?
manake playground ya hackers today ni internet... ambayo bila kujua shells za linux ni kazi bure
pia hacking kuna OS zake sasa mtu ata kutumia linux hawezi lakini anataka awe hacker
 
Linux naweza kuitumia
 
ajira unayoi-wish kwa tanzania bado maana hata hawa white hackers tulionao TZ ni pro-ccm...i mean watoto wa wakubwa
 
C# na Matlab za nini katika hacking?
 
Hacking is more than just a word hack, VPN zinaweza kukupoteza pia, you can't be one in just a year, you need practice and you need community, community is better than those fucking pdf.
So how can I get community?
 
Alafu mkuu kwenye embedded systems au IoT, C na C++ ipi inafaa zaidi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…