GE2025 Esther Matiko awekewa pingamizi zito na Jackson Kangoye Tarime mjini

GE2025 Esther Matiko awekewa pingamizi zito na Jackson Kangoye Tarime mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tarimemjini

Member
Joined
Jul 10, 2025
Posts
71
Reaction score
142
Mgombea Ubunge jimbo la Tarime mjini kupitia ACT-Wazalendo amemuwekea pingamizi Mgombea wa CCM, Esther Nicholas Matiko pingamizi zito sana.

Pingamizi hili kungekuwa na utawala wa sheria Hakika Esther Matiko angeondolewa kuwa mgombea na angeshitakiwa kwa ubadhirifu wa mali za Umma.

Soma Pia: Esther Matiko amuwekea pingamizi mgombe wa ACT-Wazalendo Tarime Mjini


Tujitahidi kuipitia.
==================
Mimi, Jackson Ryoba Kangoye, mgombea Ubunge Jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), ninawasilisha pingamizi hili kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 Toleo la 2023, Sheria ya Uchaguzi, Sura ya 343 na kanuni zake, pamoja na Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258, kupinga uteuzi wa Bi. Esther Nicholas Matiko kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).




HISTORIA NA MUKTADHA​


1. Uanachama wa CHADEMA na Ubunge wa Viti Maalum (2020)
Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Esther Nicholas Matiko aligombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini lakini hakupata ushindi. Baadaye alikula kiapo cha Ubunge mbele ya Spika wa Bunge kuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Hata hivyo, viongozi wa chama chake walikana kupeleka majina ya wabunge 19 wa Viti Maalum kwa ajili ya kuapishwa kutokana na kukataa na kususia matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.


2. Kufutwa Uanachama na Maamuzi ya CHADEMA
Baada ya kuapishwa, Baraza Kuu la CHADEMA lilitoa maamuzi ya kumfukuza uanachama kutokana na kukiuka taratibu na kudhoofisha mamlaka ya chama. Kwa mujibu wa Ibara ya 71(1)(e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
 

Attachments

Naomba huyu malaya Esther Matiko ashindwe asubuhi na huyo jamaa wa ACT wazalendo, japo mimi ni chadema lakini huyu malaya wa kisiasa na kimwili apumzike utapeli sasa basi, kungekuwa na tume huru na polisi kuacha kukisaidia ccm huyu mchepuko wa Mwigulu asingetoboa this time round
 
Mgombea Ubunge jimbo la Tarime mjini kupitia ACT-Wazalendo amemuwekea pingamizi Mgombea wa CCM, Esther Nicholas Matiko pingamizi zito sana.

Pingamizi hili kungekuwa na utawala wa sheria Hakika Esther Matiko angeondolewa kuwa mgombea na angeshitakiwa kwa ubadhirifu wa mali za Umma.

Soma Pia: Esther Matiko amuwekea pingamizi mgombe wa ACT-Wazalendo Tarime Mjini

Tujitahidi kuipitia.
==================
Mimi, Jackson Ryoba Kangoye, mgombea Ubunge Jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), ninawasilisha pingamizi hili kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 Toleo la 2023, Sheria ya Uchaguzi, Sura ya 343 na kanuni zake, pamoja na Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258, kupinga uteuzi wa Bi. Esther Nicholas Matiko kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).




HISTORIA NA MUKTADHA​


1. Uanachama wa CHADEMA na Ubunge wa Viti Maalum (2020)
Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Esther Nicholas Matiko aligombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini lakini hakupata ushindi. Baadaye alikula kiapo cha Ubunge mbele ya Spika wa Bunge kuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Hata hivyo, viongozi wa chama chake walikana kupeleka majina ya wabunge 19 wa Viti Maalum kwa ajili ya kuapishwa kutokana na kukataa na kususia matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.


2. Kufutwa Uanachama na Maamuzi ya CHADEMA
Baada ya kuapishwa, Baraza Kuu la CHADEMA lilitoa maamuzi ya kumfukuza uanachama kutokana na kukiuka taratibu na kudhoofisha mamlaka ya chama. Kwa mujibu wa Ibara ya 71(1)(e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kipengele cha tatu kinasema: “Mtu mwenye kadi za uanachama wa zaidi ya Chamakimoja cha kisiasa atachukuliwa kuwa amejiuzulu kutoka katika chama chake chaawali”
Kwa mujibu wa Sheria ya Vyama Vya siasa mtu hawezi kuwa mwanachama wa Chamazaidi ya kimoja cha siasa.
 
Kipengele cha tatu kinasema: “Mtu mwenye kadi za uanachama wa zaidi ya Chamakimoja cha kisiasa atachukuliwa kuwa amejiuzulu kutoka katika chama chake chaawali”
Kwa mujibu wa Sheria ya Vyama Vya siasa mtu hawezi kuwa mwanachama wa Chamazaidi ya kimoja cha siasa.
Yaani huyu Esther na Covid 19 wenzake wanatakiwa kushitakiwa mahakamani ili washugulikiwe.

Na warudishe pesa za walipa kodi walizochezea na kufungwa jera.
 
Naomba huyu malaya Esther Matiko ashindwe asubuhi na huyo jamaa wa ACT wazalendo, japo mimi ni chadema lakini huyu malaya wa kisiasa na kimwili apumzike utapeli sasa basi, kungekuwa na tume huru na polisi kuacha kukisaidia ccm huyu mchepuko wa Mwigulu asingetoboa this time round
Mamaako asingelikuwa Malaya ungezaliwa? PUMBAVU!!
 
Mgombea Ubunge jimbo la Tarime mjini kupitia ACT-Wazalendo amemuwekea pingamizi Mgombea wa CCM, Esther Nicholas Matiko pingamizi zito sana.

Pingamizi hili kungekuwa na utawala wa sheria Hakika Esther Matiko angeondolewa kuwa mgombea na angeshitakiwa kwa ubadhirifu wa mali za Umma.

Soma Pia: Esther Matiko amuwekea pingamizi mgombe wa ACT-Wazalendo Tarime Mjini

Tujitahidi kuipitia.
==================
Mimi, Jackson Ryoba Kangoye, mgombea Ubunge Jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), ninawasilisha pingamizi hili kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 Toleo la 2023, Sheria ya Uchaguzi, Sura ya 343 na kanuni zake, pamoja na Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258, kupinga uteuzi wa Bi. Esther Nicholas Matiko kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).




HISTORIA NA MUKTADHA​


1. Uanachama wa CHADEMA na Ubunge wa Viti Maalum (2020)
Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Esther Nicholas Matiko aligombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini lakini hakupata ushindi. Baadaye alikula kiapo cha Ubunge mbele ya Spika wa Bunge kuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Hata hivyo, viongozi wa chama chake walikana kupeleka majina ya wabunge 19 wa Viti Maalum kwa ajili ya kuapishwa kutokana na kukataa na kususia matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.


2. Kufutwa Uanachama na Maamuzi ya CHADEMA
Baada ya kuapishwa, Baraza Kuu la CHADEMA lilitoa maamuzi ya kumfukuza uanachama kutokana na kukiuka taratibu na kudhoofisha mamlaka ya chama. Kwa mujibu wa Ibara ya 71(1)(e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kwa taarifa yako mwenyekiti wa chadema,freemanbowe ndiye aliyeandika barua kwa spika wa bunge kuidhinisha hao wabunge 19 wateuliwe ubunge,mengine yote ni siasa tu,na kwa taarifa yako wengi wa hao wabunge ni wake wa viongozi wa chadema wa wakati huo na wamezaa nao watoto,mfano mmoja kazaa na salum mwalimu,mmoja kazaa na benson kigaila,na yupo amezaa na mbowe,kitu usichokijua usikishupalie
 
Kwa taarifa yako mwenyekiti wa chadema,freemanbowe ndiye aliyeandika barua kwa spika wa bunge kuidhinisha hao wabunge 19 wateuliwe ubunge,mengine yote ni siasa tu,na kwa taarifa yako wengi wa hao wabunge ni wake wa viongozi wa chadema wa wakati huo na wamezaa nao watoto,mfano mmoja kazaa na salum mwalimu,mmoja kazaa na benson kigaila,na yupo amezaa na mbowe,kitu usichokijua usikishupalie
Una akili timamu au na wewe ni walewale?
 
Naomba huyu malaya Esther Matiko ashindwe asubuhi na huyo jamaa wa ACT wazalendo, japo mimi ni chadema lakini huyu malaya wa kisiasa na kimwili apumzike utapeli sasa basi, kungekuwa na tume huru na polisi kuacha kukisaidia ccm huyu mchepuko wa Mwigulu asingetoboa this time round
Ila atashindwaje wakati Marefa wao, uwanja wao, watangaza matokeo ni wao??
 
Kwa taarifa yako mwenyekiti wa chadema,freemanbowe ndiye aliyeandika barua kwa spika wa bunge kuidhinisha hao wabunge 19 wateuliwe ubunge,mengine yote ni siasa tu,na kwa taarifa yako wengi wa hao wabunge ni wake wa viongozi wa chadema wa wakati huo na wamezaa nao watoto,mfano mmoja kazaa na salum mwalimu,mmoja kazaa na benson kigaila,na yupo amezaa na mbowe,kitu usichokijua usikishupalie
Na mwingine alikuwa mchepuko wa Dr Slaa
 
Back
Top Bottom