Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
Kumekucha. Hii ni benki ya watu.Banking charges zao ndogo,masharti ya kupewa mikopo ni nafuu. Kenya wanao agents hadi vijijini na pia wameoanisha sytem yao na safaricom M pesa. Habari njema.
Mie nakwambia ikija TZ Bank zingine zitakoma kuringa yaani system yao bomba sana