toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hawa jamaa ni wat wa ajabu mno
Nimechoka kuvumilia sana toka mwezi wa nane hawataki kunirejeshea pesa zangu wanadai niwatumie email ya uthibitisho ilhali mimi natumia aliexpress refunds huwa hawatumi email
Nilishauriwa nitafute nitumie laptop kusave hizo refund
Mimi laptop sina huku si kunitesa jamani??
Wenzangu huwa mnafanyaje?
Nimechoka kuvumilia sana toka mwezi wa nane hawataki kunirejeshea pesa zangu wanadai niwatumie email ya uthibitisho ilhali mimi natumia aliexpress refunds huwa hawatumi email
Nilishauriwa nitafute nitumie laptop kusave hizo refund
Mimi laptop sina huku si kunitesa jamani??
Wenzangu huwa mnafanyaje?