Epusha ajali, Okoa maisha!

Ngida1

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2009
Posts
586
Reaction score
206
HII INASIKITISHA! Huu unaofanywa na hawa jamaa wa TBN ni ubaguzi wa wazi. Kwanini hawajaiweka Zanzibar kwenye hii list yao? Au kwasababu hatujasikia ajali mbaya kutokea huko Zanzibar?

Sasa tunangojea mpaka zitokee ajali mbaya huko Visiwani ili tutowe wito kama huu? Tanzania ni Zanzibar na Tanganyika - tuwacheni ubaguzi au bora wajiite Tanzania Bara Bloggers Network (TBBN)!


 

Attachments

  • TBN.JPG
    68.2 KB · Views: 552
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…