Epuka kupost Taarifa zako binafsi kuepuka Utapeli Mtandaoni

Epuka kupost Taarifa zako binafsi kuepuka Utapeli Mtandaoni

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,606
1768999135150.jpeg
Ili kujilinda na ukatili na utapeli mtandaoni, ni muhimu kuwa makini na aina ya taarifa unazoshirikisha (share) mtandaoni.

Epuka kutoa taarifa binafsi kama namba binafsi za simu, anwani za makazi au picha nyeti. Taarifa hizi zinaweza kutumiwa vibaya na kusababisha ukatili kama vitisho, kuchafuliwa jina au kuzushiwa taarifa za Uongo Mtandaoni.

Aidha, unaweza kutumia mipangilio ya faragha (privacy settings) katika akaunti zako za Mitandao ya Kijamii ili kudhibiti wanaoweza kuona 'post' yako.
 
Back
Top Bottom