Ephraim Kibonde vs Mh. John Mnyika

so u dont work unashida kusikiza clouds?

kimsingi leo kibonde kaboa sana manake anajitahd hadi kutetea ishu ya spika kuibeba ccm? kaulizwa swali juu ya maspika wote kuwa wana ccm je hawawanyimi wabunge haki kasema hapana lol wakati ili lipo wazi kabisa?
 
mkuu ugraduate sio ishu coz wengi wamegraduate stil wanapigwa na maisha wakat wasiokua graduate wanakula gud time tu.

ishu siyo kula maisha ishu ni kuwa na uwezo wa kupambanua mambo. ni mjinga kasababu ana uwezo mdogo wa kupambanua mabo hali akijisifu kuwa ni msema kweli
 
bora kutomsikiliza ili kuepuka kujipa pressure
bora ukasikiliza redio zingine kama east africa radio au RFA au radio za dini
upeo wa watangazaji wa clouds na radio zingine ni wa mashaka
ni wa low na cheap prices unategema litoke jema lipi kwao?

kimsingi leo kibonde kaboa sana manake anajitahd hadi kutetea ishu ya spika kuibeba ccm? kaulizwa swali juu ya maspika wote kuwa wana ccm je hawawanyimi wabunge haki kasema hapana lol wakati ili lipo wazi kabisa?
 
Great thinkers. Kwa nini tunatumia muda wetu na nguvu zetu kujadil watu?

Mara ARV, fungus. Yametuoka wapi haya?

Issue hapa ni kuwa tumeabiwa amezungumza juu ya Mnyika. Hata hatujaambiwa amezungumza nini tunamshambulia. Hata hatuulizi kasema nini!!!!
 
bora kutomsikiliza ili kuepuka kujipa pressure
bora ukasikiliza redio zingine kama east africa radio au RFA au radio za dini
upeo wa watangazaji wa clouds na radio zingine ni wa mashaka
ni wa low na cheap prices unategema litoke jema lipi kwao?

afadhali umenena Lokissa, mimi huwaga najiuliza hivi Ruge huwaga anasaili kweli wafanyakazi wake kwa kuangalia utaalam wao au anaangalia tu wenye sauti nzuri na ambao wanaeza kutumia mike? kuna mavipindi mengine jamani huwaga wanayaweka yanaboa sana vingne hata kudhalilisha jamani lol! kama ya jana ilionekana wazi wala halikujificha japo najua kunwa watakao nipinga.
 
Last edited by a moderator:
so u dont work unashida kusikiza clouds?

Aaaaah huyo lazima ni kilaza tu, toka saa saba mpaka ucku unasikilza clouds! Anaishije inji hii?
Ndo maana anamkingia kifua yule kilaza haiwezekani asijue aliongea nn kuhusu Mniyika kama kweli anasikiliza clouds kiasi hicho.

Mi najua waandishi wa habari wanajua mambo mengi ya kidunia ya kibinadamu bt haiwezekani huyu bwana akawa mjuzi wa kila jambo linalotokea duniani iwe siasa, science, jeshi, polisi, ndoa, traffic, doctor, hali ya hewa ha ha haaaa !!!!!!! anajua kila kitu, niliwahi kumsikia anatoa ushauri kwa Obama huyu kwa kweli ananichefua mno mno.
 
vijana wa leo wengi hawataki kufanya kazi ni starehe tu
imenishangaza mtu anasikiza radio tangu saa 7 lol.
Kibonde ni MC anawafaa zaidi vijana wa kijiweni na watu wa pwani
wanaopenda kushindia kahawa na kukaa vibarazani.
 
Kibonde anajipendekeza kwa serikali ili aendelee kupewa dili za ushereheshaji (master ceremony) katika shughuli mbalimbali ndo maana haoni ubaya wa serikali.
 
huyu jamaa kibonde mropokaji sana..tulitaka siku moja kumvagaa home kwake tulipokua bado wanafunzi pale usdm..wtu tunadai tuongezewe hela haitoshi yeye anaropoka ropoka eti serikali haina hela na piga ua hatuwezi kuongezewa...CHA AJABU HELA IKAONGEZWA NA SIJAMSIKIA MPAKA LEO akiongea chochote
 
Kwani Kibonde nae anampango wa kugombea ubunge 2015?
 
hii thread haina hata mashiko wewe umeleta habari badala ya kusema kibonde kafanya nini unaandika habari kama una update status ya Facebook
 
duh.! Nasikia watu dizaini hiyo wanahasira sana. Mungu niepushe!
Akheri yake kama yupo hivyo...Ila jihoji mwenyewe ...WEWE UMEPIMA? Vinginevyo wewe ndiyo **** na kilaza wa kutupwa wakati yeye ni Mjanja!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…