Huwa nikienda nyumbani Mwanza basi napita kwenye hiyo shule, km kuna Mwl mkuu mpya najitambulisha...wanafunzi wanakusanywa nawapa lecture.Hahahahaaa! Na sadaka huwa unazitwaa? Safi sana "baba"!
Student Centre pale imelea wanafunzi wengi sana waliosoma Mboka. Pale kwangu ilikuwa kama sebuleni, tumecheza sana Table Tennis pale muda wa jioni baada ya shule.Nimepakumbuka Students Centre-Tabora Mjini. Sijui kwa nini? Nazeeka mimi.
Ooh.. Lord our God, have mercy! Nimemkumbuka hadi father Kalumanzila.Student Centre pale imelea wanafunzi wengi sana waliosoma Mboka. Pale kwangu ilikuwa kama sebuleni, tumecheza sana Table Tennis pale muda wa jioni baada ya shule.
Kakimbilia akidhani anamuaibisha mtoa uzi kumbe anajiaibisha mwenyewe.Si ameandika C&P hapo chini
Kasema C&P ama huelewi maana yake?Mleta Mada acknowledge kuwa uzi Sio wako, uko humu ndani zaidi ya miaka miwili sasa! Mtunzi sijui ni Nani
Feedback siyo facebook. Wazee wa mrejesho kwa kiswahiliHili jina la kuwaita face book
Hivi UKWATA kirefu chake ni nini maana sisi wengine hatukubahatika kuwa katika shule mchanganyiko wa dini hivyo yetu ili TYCS tu. Maana dini moja dhehebu moja la katoliki. Tulikosa mengi sana lakini katika makongamano ya TYCS tylicheza disco pia. Tatizo ni kwamba kwa kificho.TYCS hawakuwa wanafiki,
CASFETA hawa walikuwa walokole kupita maelezo.Ukigundulika una bf tu unatengwa,ukijichomoa hapa waweza kuangukia UKWATA.
Kwa kizazi hiki cha sasa hayo mambo yangekuwepo nadhani watoto wa kike wangekoma wakati wa kucheza blues...maana siku hizi mambo ya blues hayapo zaidi ya kusikiliza tuKakiri pale juu copy & paste. Nilisoma mwaka juzi nilifurahi sana. Nimeprint hard copy lkn pia nikaeka kwenye group letu laxSongea Boys miaka ya 90. Hapo watoto wa Songea girls waliitwa TAMSALA. Ile holding tit tuliita kubania. Kuna .wengi kweli ya kukumbuka.
Ushirika wa Kikristo wa Wanafunzi wa TanzaniaHivi UKWATA kirefu chake ni nini maana sisi wengine hatukubahatika kuwa katika shule mchanganyiko wa dini hivyo yetu ili TYCS tu. Maana dini moja dhehebu moja la katoliki. Tulikosa mengi sana lakini katika makongamano ya TYCS tylicheza disco pia. Tatizo ni kwamba kwa kificho.
Hapana sikufuru ila hadi Leo sijui tatzo lilikuwa wapiAcha kufuru soul provider