Enzi za Nyerere leo Jerry Slaa na Mwekezaji Wangekuwa kwa DCI wanatoa maelezo. Nakumbuka Injinia Mushi alivyobebwa na Chopa ya Polisi hapa Iringa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,033
Wakati ule wa Nyerere hapakuwepo Takukuru hivyo DCI alifanya majukumu yote ya kiuchunguzi

Baada tu ya Waziri Slaa kutoa taarifa za kukataa rushwa mbele ya wanahabari nguli akina Muhidin Michuzi wa Daily news, Pascal Mayalla wa RTD nk mchezo usingeishia pale, usiku tungesikia kupitia kipindi cha Majira " Waziri na Mwekezaji waitwa Ofisini kwa DCI kuandikisha Maelezo"

Awamu ya kwanza matukio ya Rushwa yalishughulikiwa kwa Haraka mno. Sema siku hizi hata Waandishi wa Habari Wengi ni Makanjanja tu wanaosubiria teuzi

I wish you a Merry Christmas ๐Ÿ˜€
 
Wakati ule wa Nyerere hapakuwepo Takukuru hivyo DCI alifanya majukumu yote ya kiuchunguzi

Baada tu ya Waziri Slaa kutoa taarifa za kukataa rushwa mbele ya wanahabari nguli akina Muhidin Michuzi wa Daily news, Pascal Mayalla wa RTD nk mchezo usingeishia pale, usiku tungesikia kupitia kipindi cha Majira " Waziri na Mwekezaji waitwa Ofisini kwa DCI kuandikisha Maelezo"

Awamu ya kwanza matukio ya Rushwa yalishughulikiwa kwa Haraka mno. Sema siku hizi hata Waandishi wa Habari Wengi ni Makanjanja tu wanaosubiria teuzi

I wish you a Merry Christmas
AWAMU ya KWANZA hata TANU na CCM walikuwa wanaheshimu Sheria za Chama RUSHWA ndani ya CHAMA ilikuwa ni KANSA lakini siku hizi HUPATI UONGOZI ndani ya CCM bila RUSHWA
Wansccm hivi sasa wako BUSY kukusanya FEDHA kwa Ajili ya KUPATA Urais Ubunge Udiwani n.k
RUSHWA ndani ya CCM wao huiita TAKRIMA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Wakati ule wa Nyerere hapakuwepo Takukuru hivyo DCI alifanya majukumu yote ya kiuchunguzi

Baada tu ya Waziri Slaa kutoa taarifa za kukataa rushwa mbele ya wanahabari nguli akina Muhidin Michuzi wa Daily news, Pascal Mayalla wa RTD nk mchezo usingeishia pale, usiku tungesikia kupitia kipindi cha Majira " Waziri na Mwekezaji waitwa Ofisini kwa DCI kuandikisha Maelezo"

Awamu ya kwanza matukio ya Rushwa yalishughulikiwa kwa Haraka mno. Sema siku hizi hata Waandishi wa Habari Wengi ni Makanjanja tu wanaosubiria teuzi

I wish you a Merry Christmas ๐Ÿ˜€
Yeye hajui madhara ya maneno alijua anatafuta kiki yq kuzungumzwa na raisi!
 
Wakati ule wa Nyerere hapakuwepo Takukuru hivyo DCI alifanya majukumu yote ya kiuchunguzi

Baada tu ya Waziri Slaa kutoa taarifa za kukataa rushwa mbele ya wanahabari nguli akina Muhidin Michuzi wa Daily news, Pascal Mayalla wa RTD nk mchezo usingeishia pale, usiku tungesikia kupitia kipindi cha Majira " Waziri na Mwekezaji waitwa Ofisini kwa DCI kuandikisha Maelezo"

Awamu ya kwanza matukio ya Rushwa yalishughulikiwa kwa Haraka mno. Sema siku hizi hata Waandishi wa Habari Wengi ni Makanjanja tu wanaosubiria teuzi

I wish you a Merry Christmas ๐Ÿ˜€
Kama kila aliyepo hapo katoa rushwa (ya ngono, kufilw etc, ya hela etc) unategemea nani atamuwajibisha mwenzake??? Mwenye huo ubavu alikuwa Dkt Magufuli tu
 
Yule mgiriki aliesema serikali yote iko mfukoni ๐Ÿ˜„ kilichomkuta mpaka Askofu Makarios alimuomba Nyerere amuachie lakini wapi
Nyerere alikuwa hacheki na wapumbavu wala rushwa

Sasa Waziri leo hadharani anajitapa kuwa eti mtoa rushwa alimuendea mtu wake wa karibu sana na kumuambia kuna mia Tatu pembeni
Sasa huyo mpambe kama ana watoa rushwa wanamjua mpaka kumuambia hivyo maana yake wanajuana ndani ndani na hata waziri anawajua vizuri
Ila hatuna Bunge maana kama ni ulaya pia Sasa hizi kungekuwa mshike mshike
 
Ko walilala chini wakati BOT wamevamiwa
Hiyo chamtoto Watu tumeshuhudia mubashara Tamim vs Nyaucho ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mbowe alikuwa anakuja kuchungulia chungulia pale Kilimanjaro Hotel Ili apeleke " Taarifa" kwa baba wa ubatizo

Ila ile siku ya uvamizi alifanya kazi kubwa maana ghafla tuliponyanyuka tukamuona kashika Mguu wa Kuku, kumbe kile kirungu ilikuwaga Zuga tu!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom