Enyi CHADEMA

Enyi CHADEMA

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,115
Mnasema ccm hawajafanya lolote chini ya daktari JK.je haya hamyaoni.
1.wametuwekea pesa nje ya nchi.
2.kuua tembo na kusafirisha wanyama hai nje ya nchi.
3.kuvuana magamba.
4.kubadilisha ilani yao mpaka kuwa na ilani ya kupambana na chadema.
CCM WENZANGU MUWAONGEZEE MENGNE CCM OYEEEE.
 
kama huna la maana la kuzungumza kuna haja gani ya kuanzisha uzi?
 
Tatizo wapinzani wanapinga kila kitu,
1.Tumepandisha gharama za maisha
2. Tumeongeza deni la taifa hadi Trilion 20
3.Tumeweza KUBORESHA elimu hadi watoto wanafika sekondari bila kujua kusoma
4. Mwaka huu kama hujaskia tumeweza kutumia matokeo ya mock ya darasa la saba kuchagua watoto wa kuingia sekondari.
ccm OYEEEEEEE!!!!!!!
 
Tumeongeza idadi ya wasiokuwa na ajira kutokana na vyuo vingi tulivyovianzisha

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni jamani
 
unapiga hatua kumi nyuma na moja mbele =unaanza kujipongeza.we unaakili kweli.
 
kama huna la maana la kuzungumza kuna haja gani ya kuanzisha uzi?
ENDELEENI KUIMALIZA NCHI HII WATU WAKISEMA MAMBO YA UKWELI MNAYOYAFANYA KWA MANUFAA YA MATUMBO YENU WAKATI WATZ WENGI HAWANA UHAKIKA HATA WA MLO MMOJA MNASEMA SI MAMBO YA MAANA YA MAANA NI YAPI? Kupeleka watoto sekondari wakati hawajui kusoma na kuandika? Kumsifia mkwele? PUMBAVU.
 
Tatizo wapinzani wanapinga kila kitu,
1.Tumepandisha gharama za maisha
2. Tumeongeza deni la taifa hadi Trilion 20
3.Tumeweza KUBORESHA elimu hadi watoto wanafika sekondari bila kujua kusoma
4. Mwaka huu kama hujaskia tumeweza kutumia matokeo ya mock ya darasa la saba kuchagua watoto wa kuingia sekondari.
ccm OYEEEEEEE!!!!!!!

5.tumempa u-dr rais hili nalo hamlioni.
6.tulimvua lema ubunge tukaamua kumrudishia hamuoni.
7.tumeongeza propaganda chafu dhidi ya chadema. Hamuoni kitasambaratika kabla ya 2015.
 
treni ubungo-city,huku tukiua dar-tanga-arusha,tumeua katani,kahawa,chai,pamba,korosho tukaleta ma trekta na kilimo 1st
 
Back
Top Bottom