Hiyo ni Kampala to Entebbe expressway, inaunganisha majiji mawili makubwa kabisa ya Uganda. Nilipita hapo hatua za awali mwaka 2013, wameijenga pembeni ya ile iliyokuwepo. Museveni hapo kawapa kitu kizuri na kikubwa waganda.
Hiyo ni Kampala to Entebbe expressway, inaunganisha majiji mawili makubwa kabisa ya Uganda. Nilipita hapo hatua za awali mwaka 2013, wameijenga pembeni ya ile iliyokuwepo. Museveni hapo kawapa kitu kizuri na kikubwa waganda.