Tetesi: Enock Koola akataliwa nyumbani Vunjo

Tetesi: Enock Koola akataliwa nyumbani Vunjo

MALLE JR

Member
Joined
May 7, 2025
Posts
9
Reaction score
4
Mtia nia wa ubunge Vunjo aitwaye Enock Koola siku ya Jumamosi wajumbe wamemgomea kuonana nao licha ya kurudi mara 2 akidhani patakua na nafuu.

Kadhia hiyo imemkuta katika kata yake ya nyumbani ya Mwika Kusini.
 
Back
Top Bottom