English premier legue

English premier legue

Joined
Apr 5, 2012
Posts
21
Reaction score
13
Ligi kuu ya Uingereza iliendelea au huenda bado mechi zinachezwa usiku huu,tafadhali mwenye matokeo ya mechi za usiku huu haswa mechi za Liverpool na Arsenal na Chelsea kama walicheza japo sina sana hakika kama wacheza anisaidie kujua matokeo tafadhali,

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom